![]() |
Meneja Mawasiliano wa Shirika la Hifadhi za Taifa,Tanzania(TANAPA)Paschal Shelutete akifanya utamburisho wa wageni mbalimbali waliofika katika shughuli hiyo. |
![]() |
Baadhi ya wageni mbalimbali katika shughuli hiyo. |
![]() |
Meza kuu iliongozwa na Waziri wa Maliasili na Mazingira ,Lazaro Nyarandu. |
![]() |
Waziri Nyarandu akiteta jambo na Mkurugenzi wa Utalii na Masoko wa TANAPA,Ibrahim Mussa. |
![]() |
Mmoja kati ya wageni waalikwa alikuwa ni Mkurugenzi wa Umoja wa vilabu vya Waandishi wa Habari nchini ,Abubakar Karsan ambaye alipata nafasi ya kuzungumza machache. |
![]() |
Majaji walioshiriki kufanya kazi ya kupitia kazi za washiriki . |
![]() |
Wageni mbalimbali wakifutilia shughuli hiyo. |
![]() |
Baadae David Rwenyagira alipata nafasi ya kutoa neno la shukrani kwa niaba ya washidi wa tuzo hizo. |
![]() |
Mkurugenzi mkuu wa Shirika la hifadhi za Taifa ,Tanzania ,Allan Kijazi akitoa neno na kisha kumkaribisha mgeni rasmi katika shughuli hiyo ,Waziri wa Maliasili na Utalii,Lazaro Nyarandu. |
![]() |
Mwanamuziki Nguli wa muziki wa Bendi hapa nchini King kii a.k.a Mzee wa Kitambaa Cheupe na bendi yake alitoa burudani kwa washindi pamoja na wageni waalikwa. |
![]() |
Kila mmoja aliweka kitambaa Cheupe juu. |
![]() |
Baadae likafuatia neno la shukrani toka kwa Mkurugenzi wa Utalii na Masoko ,Ibrahimu Mussa. |
![]() |
Mgeni rasmi akapata picha ya pamoja na washindi. |
![]() |
Watu wa Star Tv ,Bernad James,Yvona Kamutu pia walikuwepo kutoa konos,kwa mwenzao Raymond Nyamwihula. |
Advertisements